93.7 ni masafa ya kituo kipya kabisa cha radio jijini Dar es Salaam ambacho kinatarajiwa kuanza kurusha matangazo yake hivi karibuni. Kituo hicho (hapo juu) kinachomilikiwa na kampuni ya E-Masters (kampuni inayomiliki kumbi za Maisha Club), kipo maeneo ya Kawe Beach na tayari studio zake zimekamilika tayari kwa kuanza matangazo.
Tazama picha zaidi hapo chini (Picha kutoka DJCHOKAMUSIC.COM)
Labels: Burudani