18 September 2012
PHOTOS: ELIZABETH MICHAEL ‘LULU’ AKIWA MAHAKAMANI JANA
Msanii wa filamu nchini Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiwa makakamani katika mahakama ya rufani, jana baada ya kusikilizwa kwa maombi ya upande wa jamhuri ya kuomba kupitiwa kwa uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar Es Salaam wa kukubali kufanyia uchunguzi umri wa msanii huyo.
About the Author
I am the official author of this blog, incase you have anything to ask or to suggest about this blog you can check me out on my email; cyplubuva@gmail.com or hit me up in +255718629774.




